Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,704
- 218,250
Akihutubia Lundo la Wananchi viwanja vya Lulenge , Wilayani Ngara, huko Kagera , Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , imebidi asimamishe mkutano wake kwa muda ili kupisha sauti za Wananchi zilizopaa angani kuukataa Mkataba wa kibwege wa Bandari za Tanganyika na Waarab wa DP WORLD
Wananchi kwa kauli moja wamepaza sauti angani kama ishara ya kumfikishia Mungu taarifa ya kuupinga Mkataba huo wa kitumwa , huku wakitaka Katiba Mpya ije hata kesho mchana
Hali ilikuwa kama hivi mnavyoiona
Wananchi kwa kauli moja wamepaza sauti angani kama ishara ya kumfikishia Mungu taarifa ya kuupinga Mkataba huo wa kitumwa , huku wakitaka Katiba Mpya ije hata kesho mchana
Hali ilikuwa kama hivi mnavyoiona