Zanzibar ni nchiKwa kweli ngao hii ni ya kiubunifu sana mfano shoka linaonyesha jinsi kila mzanzibar afanye kazi
Pia panga ni alama ya ulinzi Wa taifa
Hongera sana mtu aliyebuni ngao hii![]()
Naheshimu mawazo yako lakini ukisema kuliko ya Tanzania unakosea.Hongera sana mtu aliyebuni ngao hii
sawa lakini mbona wa kawaida tuMkuu nataka tuangalie ubunifu uliotumika
Naheshimu mawazo yako lakini ukisema kuliko ya Tanzania unakosea.Hongera sana mtu aliyebuni ngao hii
Angalia huu ubunifu. Kabla hujazungumzia Tanzania, linganisha kwanza na hii ya ilala.Tupo kisanaa mkuu angalia huo ubunifu