Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Ni dhahiri kwamba kila siku zinavyozidi kwenda kuelekea uchaguzi Mkuu ndivyo pia ndoto za fisadi Lowasa na Genge za kushika Dola zinavyozidi kupungua na kufifia kabisa, sasa ni ipi itakuwa hatua ya tatu ya fisadi Lowasa na Genge lake baada ya kwanza kukatwa na tume ya Maadili ya CCM kwa kukosa maadili ya kuongoza, ya pili ni kukataliwa na Watz kwa ujumla wetu kupitia sanduku la kura sasa hatua ya tatu ndiyo ninayoiongelea ikumbukwe kwamba kwake yeye ni Uraisi tu na hakuna kingine na ameshasema pale Mlimani City kwamba Msamiati wa kushindwa kwake haupo, na Je, tutegemee nini kitafuatia baada ya sisi WatanZania kumkataa?
Mimi natabiri kifuatacho; Fisadi Lowasa Genge lake kwa kuwa wanafahamu kabisa kwamba hawawezi kuishi maisha ya Amani bila ya wao kuwa sehemu ya Serikali basi kuna kila dalili ya wao (fisadi lowasa na Genge lake) kulazimisha kwa njia yoyote ile kwa namna moja au nyingine wawepo kwenye Serikali ya Dr.Pombe Magufuli, sasa hapo tukae mkao wa utayari kwani kuna siku ngumu mbele yetu zinakuja na haitakuwa rahisi!
Ningeishauri Serikali ianze kuajili Polisi wa kutosha pamoja na kuita ma reserve wetu na kuwatayarisha!
Mimi natabiri kifuatacho; Fisadi Lowasa Genge lake kwa kuwa wanafahamu kabisa kwamba hawawezi kuishi maisha ya Amani bila ya wao kuwa sehemu ya Serikali basi kuna kila dalili ya wao (fisadi lowasa na Genge lake) kulazimisha kwa njia yoyote ile kwa namna moja au nyingine wawepo kwenye Serikali ya Dr.Pombe Magufuli, sasa hapo tukae mkao wa utayari kwani kuna siku ngumu mbele yetu zinakuja na haitakuwa rahisi!
Ningeishauri Serikali ianze kuajili Polisi wa kutosha pamoja na kuita ma reserve wetu na kuwatayarisha!