Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,383
- 8,272
Hii habari ni ya lini? Na amepandishwa kwa cheo gani? Taarifa hii haijakamilika.
Hii habari ni ya lini? Na amepandishwa kwa cheo gani? Taarifa hii haijakamilika.
Mi ninavyojua Vyeo huwa vinapanda Kulingana na Taratibu fulani au Kukaa Kwenye Cheo cha Chini kwa Muda Fulani.. Kila Mtumishi sekta Yeyote akikaa muda fulani huwa anapandishwa Cheo, sema Huyo ni Maarufu tu na Ni mpambe ila Wengine Pia WamepandaUnaongelea sheria na tratibu tanzania, Tanzania haina sheria na taratibu inajiendea tu kutokana na matakwa ya mkuu wa nchi
Alishakuwa brigedia jenerali muda sana , kama hii habari ni mpya anaenda kuwa meja jenerali (2stars general)Mwanzoni alikuwa ni Kanali Nyamburi Mashauri na sasa ni Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri