News :

News :

Cachondo

Senior Member
Joined
May 6, 2019
Posts
144
Reaction score
139
Habari wanajopo mliopo humu ndani! Ninahitaji passport ila katika vigezo moja wapo ni pamoja na kuambatanisha cheti cha mzazi mmoja wapo cha kuzaliwa,lakini mimi hao wazazi wenyewe walifariki nikiwa chini ya miaka mitano na nimelelewa na watu baki tu, nifanye ili nipate hiyo hati ya kusafiria? Nisaidieni tafadhali
 
Habari wanajopo mliopo humu ndani! Ninahitaji passport ila katika vigezo moja wapo ni pamoja na kuambatanisha cheti cha mzazi mmoja wapo cha kuzaliwa,lakini mimi hao wazazi wenyewe walifariki nikiwa chini ya miaka mitano na nimelelewa na watu baki tu, nifanye ili nipate hiyo hati ya kusafiria? Nisaidieni tafadhali
Nenda mahakamani ukiambatana Na watu wanaowafahamu Vema hao wazazi wako ili wafanye/watoe kiapo then ujaziwe affidavit form.
 
Habari wanajopo mliopo humu ndani! Ninahitaji passport ila katika vigezo moja wapo ni pamoja na kuambatanisha cheti cha mzazi mmoja wapo cha kuzaliwa,lakini mimi hao wazazi wenyewe walifariki nikiwa chini ya miaka mitano na nimelelewa na watu baki tu, nifanye ili nipate hiyo hati ya kusafiria? Nisaidieni tafadhali
peleka picha za waliokulea
 
Habari wanajopo mliopo humu ndani! Ninahitaji passport ila katika vigezo moja wapo ni pamoja na kuambatanisha cheti cha mzazi mmoja wapo cha kuzaliwa,lakini mimi hao wazazi wenyewe walifariki nikiwa chini ya miaka mitano na nimelelewa na watu baki tu, nifanye ili nipate hiyo hati ya kusafiria? Nisaidieni tafadhali
pale uhamiaji nje unapata afidavit fasta chin ya dk 5 bila hata shahidi kuwepo,,,,
 
Habari wanajopo mliopo humu ndani! Ninahitaji passport ila katika vigezo moja wapo ni pamoja na kuambatanisha cheti cha mzazi mmoja wapo cha kuzaliwa,lakini mimi hao wazazi wenyewe walifariki nikiwa chini ya miaka mitano na nimelelewa na watu baki tu, nifanye ili nipate hiyo hati ya kusafiria? Nisaidieni tafadhali
Nenda mahakama yeyote ile hasa hizi za chini waambie unataka affidavit watakupatia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom