JacksonMichael
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 339
- 61
Dr.Slaa stejeni.
Kwa nn anamnadi nasari.
1) Kukanusha tuhuma kuwa v nyerere si wa ukoo wa nyerere. Dr anasema v nyerere ni wa ukoo wa nyerere
2Anakanusha tuhuma zilizotolewa na wasira kuwa Dr aliiba pesa za kanisa
3. Amesema pia si kweli kuwa zitto amemtumia waraka, anasema ni uzushi wa magamba, anasema waongo
kampeni za cdm bana ni kukanusha tuuuu, hapo hakuna sera! mungu tuepushe na hawa matapeli