Mkuu in 5min ago nimetokea Maji ya Chai ni aibu kwa CCM walileta gari 2 za washabiki then vitoto ndo viko mbele na wamama wachache walopewa vitambaa na kidogo wakazi majumbani wamekaa wanasikiliza, Lusinde na Mwigulu wakitukana, nimekuja Usa River waaaoooh CHADEMA NEVER COMDARE maelfu elfu. VIVA CHADEMA GOD BLESS CDM
Hiyo ndo chadema bwana, you will vever walk alone!