johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Fuata masharti. Wape kwanza antibiotic kwa muda wa siku 5 ili kuwatibu wale wenye infection. Siku ya 7 wape hiyo chanjo ya Newcastle then baada ya wiki moja wape chanjo ya Gombolo!Jomonii mbona wengine wananiambia nikiwapa chanjo itakua sumu kwao watakufa wote
angalau
