Newcastle

Newcastle

Jomonii mbona wengine wananiambia nikiwapa chanjo itakua sumu kwao watakufa wote
Fuata masharti. Wape kwanza antibiotic kwa muda wa siku 5 ili kuwatibu wale wenye infection. Siku ya 7 wape hiyo chanjo ya Newcastle then baada ya wiki moja wape chanjo ya Gombolo!
 
Newacastle ilikuwa ya hakina Sisse, Demba Ba hii mbovu
 
Jamn Nina kuku wangu niliwakawiza kuwapa chanjo ya Newcastle na sasa wameshakua be affect nifanyeje
Wape OTC pamoja na Vitamins. Kumbuka ugonjwa ukiingia bandani usi chanje kuku mpaka pale utakapo hakikisha makund yote ya kuku afya zao zimetengemaa.
 
Jamn Nina kuku wangu niliwakawiza kuwapa chanjo ya Newcastle na sasa wameshakua be affect nifanyeje
Unaposema wameshakua be affect unamaana gani? Au wamekwisha kuwa affected?
Kua - ageing.
Kuwa - be.
Kipi kati ya hivyo viwili, achana na kiingereza unapotafuta msaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom