Angalia hapa ndege za Dar Kigoma ndio huwa zinajaa mwezi mzima,
View attachment 1282135
Kwenye hiyo picha hapo inaonyesha betri ya simu yako imesalia 9% halafu huku unateseka ukijaza mapicha kwenye server za watu, unajisifia abiria kujaza mkondo wa flight moja kwa siku.
Angalia Dar Kigoma kesho flight ni moja tu siku inaisha.
Kigoma ni Mji mdogo sana, ulitaka twende mara nne kwa siku kama Mwanza au KIA?
Tulia mzee na uache umbeya 9% inahusikaje hapa, Besides have you ever tried korosho ni Bia
View attachment 1282165
Huyu mnawezanaMbona wewe usirushe makonde unamuita ndugu yako akusaidie
Inategemea ulichukuwa muda gani. Hivyo wingi au uchache unategemea muda. Ninavyofahamu mimi ni kwa peak period ya dar ni mchana na siyo usiku.Flight radar live Dar has one plane, so the new terminal was just but a big white elephant.
View attachment 1281835View attachment 1281835
Tanzania tuseme ukweli wala tusijilinganishe na kenya kwa sie tulio mpakani Kenya wametuzidi kila kitu isipokuwa Ardhi,mapishi na kuzaliana mengine sie sifuri tu