nimepata taarifa ya kuwa kuna na dawa mpya ya kuongeza nguvu za kiuume.
nasikia inatengenezwa Kenya, iko katika hali ya unga unga ,ni kipakti kidogo.
Naomba kama mtu ana jina lake na wapi inapatikana hapa Dar es salaam , anihabarishe
Kama uliwahi kutumia kahawa, mara ya kwanza ukitumia kidogo unachangamka kweli kweli lakini baada ya muda kidogo hata ukiweka vijiko
viwili huchangamki kama mwanzo, hali hiyo itaendelea mpaka unazoea kahawa kama maji! HIVYO HIVYO UKIZOEA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU
ILE 'NATURAL ALERT OF SEXUAL DRIVE ' INAPOTEA mpaka inafikia hatua ya, hamna dawa hamna gemu. Hivyo basi, usitumie dawa hizo
kabisa badala yake kula mlo kamili na zingatia mazoezi, pia jitahidi kuepuka vilevi na vyakula vya sukari kwa wingi.La muhimu usisahau kujifunza
kupambana na msongo wa mawazo(stress,tension) hata kama maisha ni magumu kiasi cha kutoelezeka! KUMBUKA
Life is short!
Break the rules!
Forgive quickly!
Kiss slowly!
Love truly,
Laugh uncontrollably. .
And never regret anything
that made you smile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.