JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,034
Last edited by a moderator:
komaa, one mans trash, another mans treasure
sasa mbona mumeo Slave anatoa tuhuma eti mahari imeliwa???
Mme wangu huwa ana ugonjwa wa kufogeti!!!!!!!!!
I'M a single girl
I'M a single girl
I'M a single boy
[intro]
Ni miezi kadhaa imepita niliposema �I do� kwa mke wangu.
Hata mwaka haujaisha nshasema Goodbye.
(Unh) chumba changu cha kulala kimepwayaaa
Ulikijaza kwa tabasamu, kwa jinsi ulivokuwa charming�
Na nnachotaka kusema ni..
[kiitikio]
Baby, ntakumiss
Na nikikuona mitaani nitakusemesha,
Lakini kwa sasa it�s official.
warembo, I�m single.
Mkiniona mitaani,
Msiogope kunisemesha,
Nahitaji mwanamke mwingine
niko single
[verse 1]
mpenzi nilikupa kila kitu ili ufurahi. (uhm yeaaah)
nilikupa dunia yangu lakini ulitaka uonje vya nje.
(Ooo ooo)
Siwezi kuendelea kuwa na mtu
Ambaye nikitoka naye anatoka.
[kibwagizo]
Ooooh Baby, ntakumiss
Na nikikuona mitaani nitakusemesha,
Lakini kwa sasa it�s official.
warembo, I�m single.
Mkiniona mitaani,
Msiogope kunisemesha,
Nahitaji mwanamke mwingine
niko single
[bridge]
mhhh sometimes nashikwa upweke (upweke sana) ((na-na-naaaa))
na nnakuwa nahitaji mtu (ooo)
wa kunifanya (huuuhhh)
niseme� (ooo baby)
Ooo Ooo Ooo baby (yeah e yeaaah)
Yeah yeah (yeah e yeaaah)
kweli Baby, ntakumiss
Na nikikuona mitaani nitakusemesha,
Lakini kwa sasa it�s official.
[verse 2]
Kimoyomoyo ulikuwa unatamani siku ya kuachana ifike
Huku ukijifanya hutaki tuachane.
Ukajiliza kinafiki eti bado unanipenda
Ni shetani tu (alikupitia�.)
Kumbe mimba haikuwa yangu, nimelea miezi nane,
Na sasa ukweli umejulikana�
Baby!
[kibwagizo]
ntakumiss
Na nikikuona mitaani nitakusemesha,
Lakini kwa sasa it�s official.
warembo, I�m single.
Mkiniona mitaani,
Msiogope kunisemesha,
Nahitaji mwanamke mwingine
niko single
[outro]
(Ooo huuuh ooo baby)
niko single
(Yea e yeaaah)
(Yea e yeaaah)
(Ha! ) niko single
(Oooh huuuh (uh-uh) oooh baby)
Niko single
(Yea e yeaaah)
(Yea e yeaaah)
Song: Niko Single
Artist: C6
Studio: Mtaawasaba Studios
Naona kama kuna ka chance ka twiga kuingiza kichwa chake kwenye kaya...!!!
I'M a single girl
Si alikuwa mjamzito . . . .na mtoto wenu mmempeleka wapi??kafanyaje?
Si muongee kwa HERUFI KUBWA...
kuwa mpole ngoja aje ajibu mashambulizi.
Shemeji kwa hiyo kaka amemtupa?
Tena uzuri wake ni kwamba ukaguzi ulishapita....
Shemeji kwa hiyo kaka amemtupa?