alokwambia anaishi mpwampwa nani,Husninyo anaishi dar keko toroli karibu na lile dimbwi la maji mkabala na polisi posti.
Kama AfroD ni kijukuu changu, mwanae ntamwitaje? Au hujui umri wa Afro kwa sasa?
Mkuu mbona umewataja wanaume 2 tu au hata hao ni kutoa kesi kuwa unahitaji thread za kina dada tu lol!Lizzy,MJ1,Ashadii,Husniyo,Aspirin,Pdiddy,Woman of substance,AD,SL,BB,Dena ,Nyamayao,King'asti,DC na vingunge wengine wa mmu embu rusheni nyuzi mpya hapa mmu,acheni uvivu bana!!!!!.
ps: niko standby kwenye keyboard nasubiri ku post comments zangu.