new thread

Mr. Mojoki asante kwa kunijuza kuhusu "MMU", sasa tunaweza Kuendelea.
 
Lizzy,MJ1,Ashadii,Husniyo,Aspirin,Pdiddy,Woman of substance,AD,SL,BB,Dena ,Nyamayao,King'asti,DC na vingunge wengine wa mmu embu rusheni nyuzi mpya hapa mmu,acheni uvivu bana!!!!!.
ps: niko standby kwenye keyboard nasubiri ku post comments zangu.
Mkuu mbona umewataja wanaume 2 tu au hata hao ni kutoa kesi kuwa unahitaji thread za kina dada tu lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom