New song: Eneka by Diamond Platnumz

ZionTZ

JF-Expert Member
Oct 6, 2009
1,283
538
Katika zunguka zunguka huko YouTube leo nimeona wimbo mpya wa Diamond unaitwa Eneka upo kama nyimbo za Tekno kinamna flan ila ni mzuri.

Naona kaamua kufyatua tu midude kimya kimya. Diamond anataka kutupandisha presha aisee...

Naona mtaa wa pili upo kimya sana, mondi ashaachia nyimbo nyingi sana lakini jirani yupo kimya. Mshtueni aisee hili gap linazidi kuwa kubwa.

Dondosha comment zako hapa jamaa kaitambalia biti vyema au akajipange??

 
Domondi hana jipya tena, ameshafika mwisho. Sasa tumerudi kwa Saida Kalori
Hamjarudi kwa Saida Kalori.

- Saida Kalori karudishwa MIDOMONI mwenu na huyo huyo domo unayesema hana jipya.

- Baada ya kurudishwa, wazee wa fursa CLOUDS wakaona kumbe SAIDA KALORI bado ana kimgodi - kipotential cha KUVUNA tena, wako naye tena BENETI, Wavune WAKAE KANDO.

- Mimi namwombea angalau kwa huruma tu wamsaidie vipesa vya KUJIKIMU kutoka kwenye mavuno ya SHOW na ALBUM ili angalau apunguze MACHUNGU
 
Mwache atoe tu situnatoaga ht unatoa nyimbi watu wanaiskiliza Mara moja alafu kapuni inamaana gani sibora ukae kimya tu
 
Boooooooooonge moja la wimbo,hili goma akilifanyia video itakuwa ni shigda mtaani. "Kumbukeni DIAMOND Youtube chanel yake iko na udhamini,kwahiyo HAJAWAHI KUPATA HASARA YA VIDEO ZAKE."
 
Back
Top Bottom