Guys nahitaj msaada wa utaratibu na ratiba za hii club mpya kwa wale wadau. If possible na club billcanas pia.
Club za nairobi na mombasa ndio mambo yote,burudani inaanzia ukifungua website zao unaanza kula ngoma automatically from no where
Club za nairobi na mombasa ndio mambo yote,burudani inaanzia ukifungua website zao unaanza kula ngoma automatically from no where
Utaratibu ni lazima uje na wazazi wako