Bendi hii ya muziki wa injili iko wapi kwa sasa?nimekumbuka uimbaji wao ulitubariki kwelikweli kwa vipawa walivyopewa na MUNGU,mwenye taarifa,nyimbo zao jimwage hapa
Nafahamu sasa ni taasisi kubwa pale Arusha,wanamiliki magari ya kusomba mchanga,wana shule ya msingi na sekondari.
Walikuwa wakitembelea shule na vyuo miaka hiyo ya themanini na tisini
Nafahamu sasa ni taasisi kubwa pale Arusha,wanamiliki magari ya kusomba mchanga,wana shule ya msingi na sekondari.
Walikuwa wakitembelea shule na vyuo miaka hiyo ya themanini na tisini
Hondo Mabondo ( kiongozi)
James kifizi
Gideon Anania.
Palikuwa na Ibrahim Kibambe lakini kwa sasa hayupo pamoja nao kihuduma (nasikia yupo marekani kimakazi)
Hawa ndo wakongwe wa new life band
( mwanzo ikiitwa mision to youth and students kabla hawajaungana na new life crusades ya Egon Falk kisha wakatengana na sasa wanajitegemea)
Wanashule ya secondary maeneo ya kisongo arusha, wana studio kubwa ya kurekodi muziki Arusha. Kuhusu magari ya kubebea mchanga naona umechanganya na magari ya new life crusade ya Egon Falk.
Sina hakika kama wanaendelea na uimbaji.maana binafsi sijawasikiaBado wanaimba au wamejikita kwenye taasisi wanayoisimamia?
Hondo Mabondo ( kiongozi)
James kifizi
Gideon Anania.
Palikuwa na Ibrahim Kibambe lakini kwa sasa hayupo pamoja nao kihuduma (nasikia yupo marekani kimakazi)
Hawa ndo wakongwe wa new life band
( mwanzo ikiitwa mision to youth and students kabla hawajaungana na new life crusades ya Egon Falk kisha wakatengana na sasa wanajitegemea)
Wanashule ya secondary maeneo ya kisongo arusha, wana studio kubwa ya kurekodi muziki Arusha. Kuhusu magari ya kubebea mchanga naona umechanganya na magari ya new life crusade ya Egon Falk.
Iende mbele injili hiyoo....!pambio murua kabisa kwahiyo bado wanaimba ila mwanakikundi mmoja amejitoa?huna hata wimbo mmoja(mp3) unaoweza kuuweka hapa tupate mkuu?
Sina hakika kama wanaendelea na uimbaji.maana binafsi sijawasikia
Bendi hii ya muziki wa injili iko wapi kwa sasa?nimekumbuka uimbaji wao ulitubariki kwelikweli kwa vipawa walivyopewa na MUNGU,mwenye taarifa,nyimbo zao jimwage hapa
Bendi ilianza mwishoni mwa miaka ya 80 kipindi hicho wazungu walikuwa wanadhamini sana mikutano ya injili.
Nadhani nao pia walidhaminiwa na wazungu. Bendi ilimchukua mpiga Bass wa iliyokuwa Orchestra Maquis, Ibrahim Kibambe ambaye alienda nao ziara moja marekani akanogewa na ughaibuni na kuwatoroka. Nasikia hata wokovu aliukacha. Hivi sasa naambiwa ni marehemu.
Bendi bado ipo Arusha ila haina umaarufu kama mwanzo hivyo wanaishia kukodisha vyombo vya muziki. Kifedha wako vizuri maana wana shule na studio.
imenikumbusha mbali sana
Bendi hii ya muziki wa injili iko wapi kwa sasa?nimekumbuka uimbaji wao ulitubariki kwelikweli kwa vipawa walivyopewa na MUNGU,mwenye taarifa,nyimbo zao jimwage hapa
Hata mimi mkuu...unakumbuka debut album yao ya Baba Yetu iliyokuwa na mapigo kama Siku Inakuja, Ingon Som Du, Baba Yetu et cetera et cetera? Pia Ondo alikuwa na dadake mwimbaji aitwa Stella.
Deo ( drums boy)Ibrahimu Kibambe alifariki dunia.. kwa sasa New Life Band inafanya matamasha Ulaya na Marekani, pia bado wanajihusisha na huduma za vijana kwa kufanya makambi ya vijana mara moja kila mwaka sehemu mbalimbali.
Kwa sasa waimbaji ni kama Eglah Bavuma, Abednego Hango waliotoka AVC, pamoja na Deo, James Kufizi, Gideon na Ondo