taarifa nilizozipata hivi punde ktoka kwa mwanafunzi aliyechaguliwa muce na tayari kashafika chuoni kasema majina ya waliopata mkopo mwaka 2015/2016 yameshabandikwa chuoni kama una mtu wako wa karibu yupo uko jarib kuwasiliana nae akuangalizie.
taarifa nilizozipata hivi punde ktoka kwa mwanafunzi aliyechaguliwa muce na tayari kashafika chuoni kasema majina ya waliopata mkopo mwaka 2015/2016 yameshabandikwa chuoni kama una mtu wako wa karibu yupo uko jarib kuwasiliana nae akuangalizie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.