Sawa mkuu kaa hapo nikuletee hiki kilaji..HIYO NDO YENYEWE MKUU KWA HERUFI KUBWA
Karibu sana ila huku hakuna wakalimani mkuuHELLO
As my user name described its same same with the real person
It is my hope we will get in touch very easly
nawasilisha..
Hata kiingireza chenyewe alichotumia sio kinyoofu kisarufi na kimpangilio halafu kimepinda/kina makengeza.Ndio tatizo la kujifanya too much know while nothing known at all!!@fundi bishoo huyu si mjomba wako mdogo?Mwambie aache ngebe za lugha iliyokuja na majahazi!!!kwann usingetumia kiingereza tupu?? au pombe imekolea??
ila karibu
Hata kiswahili chetu sio kinyoofu mkuuHata kiingireza chenyewe alichotumia sio kinyoofu kisarufi na kimpangilio halafu kimepinda/kina makengeza.Ndio tatizo la kujifanya too much know while nothing known at all!!@fundi bishoo huyu si mjomba wako mdogo?Mwambie aache ngebe za lugha iliyokuja na majahazi!!!
Karibu sana, ila huku sio kama Facebook, huku ni wachoyo sana wa likes, unaweza kuposti michango yako kwa mwezi mzima ukapata likes mbili tu au usipate kabisaHELLO
As my user name described its same same with the real person
It is my hope we will get in touch very easly
nawasilisha..
hahahaha ntamuambia aache mkuuHata kiingireza chenyewe alichotumia sio kinyoofu kisarufi na kimpangilio halafu kimepinda/kina makengeza.Ndio tatizo la kujifanya too much know while nothing known at all!!@fundi bishoo huyu si mjomba wako mdogo?Mwambie aache ngebe za lugha iliyokuja na majahazi!!!
Sawa kiongozi,ila hawa VIJANA/Vibishololo wanaoota ndevu/wanao balehe waache broken language iliyokuja na mashua,waachie wakongwe wanaojua kuitafuna na kuibinua hasaHata kiswahili chetu sio kinyoofu mkuu
Sawa sawa!!Aache ngebe zake!!hahahaha ntamuambia aache mkuu
Sawa kiongozi,ila hawa VIJANA/Vibishololo wanaoota ndevu/wanao balehe waache broken language iliyokuja na mashua,waachie wakongwe wanaojua kuitafuna na kuibinua hasa
Napenda kuongea lugha nyingi no matter nikikosea as long as unanielewaSawa kiongozi,ila hawa VIJANA/Vibishololo wanaoota ndevu/wanao balehe waache broken language iliyokuja na mashua,waachie wakongwe wanaojua kuitafuna na kuibinua hasa