^^
Real love grows slowly, dont invest too much energy finding love, it will cost your emotios!
Once you have it, then you can add efforts, remember Love is a plant..it needs to grow or else it dies!
^^
likes likes likes... Nimeipenda hii
^^
Real love grows slowly, dont invest too much energy finding love, it will cost your emotios!
Once you have it, then you can add efforts, remember Love is a plant..it needs to grow or else it dies!
^^
Nashukuru ndugu yanagumkuu, unatumia mvinyo? I wanna offer you some wine..umenena ukweli..
Don't you love yourself?
to like somebody.....to love somebody ....to be in love with somebody........vitu vitatu tofauti...
Habari za saa hizi wanajukwaa wa MMU,
Hivi kuna uwezekano mwanaume mwenye umri ulozidi miaka 30 awe hajawahi kupenda?Kwa uelewa wangu hata yale mapenzi ya utotoni ni mapenzi pia ijapokuwa hayachukuliwi serious na hayapewi uzito kama ya ukubwani .
Kuna tofauti gani ya kumwambia mtu nakupenda lakini sijafall kwako?Huyo mtu utakuwa unampenda vipi kama rafiki tu au kama ndugu?
Karibuni
Cc Eli79 Mkoroshokigoli xiexie The Boss Himidini Blue G Vaislay Ennie badiebey Isumbwile siafu dume BAK farkhina Ablessed Blessed Heaven on Earth Nyani Ngabu ICHANA na wengineo
Love is a myth....BIG LIE actually...tena kwa dunia tunayoishi saivi ndo kabisaaa,sometime people are together just because it's convenient...
Labda waje wanaoamini waseme hapa,ila mi hadi saivi siamini habari za true love and the like..