Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
- Thread starter
- #21
Ok kwahio mtu akiwa 30 falling in love inakuwa haipewi kipaumbele tena….Unaweza kusema atatafuta mtu alokwa wifematerial kisha ndio afall in love…and what if atapata mtu mwenye vigezo vyote anavyohitaji lakini hamfeel kama anampenda…yaani ile kummiss mtu kumhitaji kujihisi upo katika bwawa la mapendhii….Na mtu akiwa na miaka 30..kama anataka kuanzisha mahusiano tena..anaangalia factor nyinyi sana..tofauti na mtu akiwa 20s mara nyingi factor kubwa inakuwa na utamu na mengine yana fuata..ila in 30s mengine kwanza then utamu ndo unafuata