LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Tangu asubuhi ya saa mbili oo nusu nipo ndani ya benki ya NBC na hapa Meru Branch Arusha na nikaenda mpk pale Uhuru na hakuna Network na hbr waliopokea ni kwmb karibu benki zote hapa Nchini hakuna network.
Je? Kwa walioko benki zingine hili ni kweli?
TTCL hili mnalijua? Ama imeshakuwa desturi ya kwetu kupuuzia vitu kama hivi?
Je? Kwa walioko benki zingine hili ni kweli?
TTCL hili mnalijua? Ama imeshakuwa desturi ya kwetu kupuuzia vitu kama hivi?