Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Hebu njoo banaa!!nataka nione suarez alivo fanya upoyoyo! uruguay wakifungwa watamng'oa yale meno ya mbele!
Hebu njoo banaa!!nataka nione suarez alivo fanya upoyoyo! uruguay wakifungwa watamng'oa yale meno ya mbele!
Hapana sihitaji copy namuhtaj de rill neymer jr cjui nitafanya nini mie lkn soon nitaenda brazooo
Hebu njoo banaa!!
Jamani shule zifunguliwe mapema hawa watu watatusumbua sana
Umeacha kufundisha twisheni?kwa kiingereza hiki
neymar utaendelea kumuona kwny picha zinazobandikwa saluni za kiume!
jana kuna bandiko lilikuja hapa
list ya wajinga huyu nae alikuwepo.
Nna was was na gender yako
mkuu naomba link niwasome
Even my dad HE KNOW?!
Wapi Mlugo!!
mshikaj unazidi kuua..unashndwa hata poor..?Tanzanian peopls ndo mana mko pour,akil zenu zipo zinawaza karib sana
hiki kichwa twisheni bila barua ya serikali ya mtaa sikitaki!Umeacha kufundisha twisheni?
kula kichwa hicho japo inakubidi uandae fimbo za kutosha kama unaenda kuchunga punda
hiki kichwa twisheni bila barua ya serikali ya mtaa sikitaki!
Hapana sihitaji copy namuhtaj de rill neymer jr cjui nitafanya nini mie lkn soon nitaenda brazooo
Mmh.ndugu kwenda brazil haimaansh utapata muda wa kuongea na neymer..itakuwa kula tu story kwenu na wananchi wenzio wa kawaida.unamchukulia poa eeeh🙄🙄
Ili iweje! Watz mko ramshackle sana