Network inakata juu ya Neymer

Network inakata juu ya Neymer

Hapna sasa niko mkubwa

Nampenda neymer nitaenda brazoo mie lol
bila shaka ushafikisha miaka 25!

neymer mwenzio ana miaka 22!

unaonaje hapo bibie? unaweza kupambana na mbunye za brazilian hair wewe?
 
jana kuna bandiko lilikuja hapa
list ya wajinga huyu nae alikuwepo.
 
hahahahaha unafikiri uongo?
sasa we unafikiri ataweza hata kumsearch gugo?
akiandika neymer si gugo inaweza mletea dawa ya kuulia viroboto ?

Teh eti dawa ya kukili viroboto umenikumbusha kwa bibi na kuku zake.
 
Lugha ya mama yngu munaijua? Mnajikuta wasomi lol mamaaaae nende zangu club naw byeeeeee
 
Jamani shule zifunguliwe mapema hawa watu watatusumbua sana
 
Lugha ya mama yngu munaijua? Mnajikuta wasomi lol mamaaaae nende zangu club naw byeeeeee
ungetuambia ingekuwa poa sana ujue!
angalau tungeweza kuongeza lugha tunazojua japo maneno mawili matatu!
 
Kuna watu Mungu aliwaumba aisee

Khaaaaa!!
 
hii Fack ni aina ya ng'ombe maksai au?

huyu dogo ni jinga kweli,
uwezo wa sura, akili na mwili wake ni mdogo sana.
she might be among the ugliest prostitute at Ohio street,
anapotezea watu muda hapa.
 
Jaman mwenzenu
Namzimikia neymer mbaya huyu mchezaj wa brazil yan kila nikimuona network inapotea i hop siku moja nitaonana nae even ma dady he knw abt dat

Lazma nionane na neymer
I ril like him!

inabidi uongee na wakala....
 
Back
Top Bottom