bILA MYAHUDI aLBET eSTAIN KUVUMBUA BOMU LA ATOMIC, VITA YA KWANZA ISINGEISHA. Hivyo myahudi annafasi pekee ya kubebwa hapa duniani kwa mchango wake wa kuleta amani duniani.
Iran ni taifa la kishetani. Hilo raisi lake jinamizi ahmedinejad lina ajenda mbaya sana ya kuwafuta wayahudi hapa duniani. Hivyo huo mtambo wake wa nuclea lazima ubomolewe apende asipende. Yeye Iran ndiye mfadhili wa Hisbollah, Hams na Al Shabab. Hivyo akifanikiwa kumiliki silaha za nuklea hapa duniani hapatakuwa na amani kabisaa.
Acha chuki za kidini kwa taifa la Israel. Upende usipende Myahudi kashika dunia na UN ni mali yake. Huwezi ukapata ukatibu mkuu wa UN kama nchi yako haina uhusiano wa kibalozi na Israel. Jiulize kwa nini salim hakupata kiti hico pale alipogombea ukatibu wa UN.
Hata wewe na familia yako uwepo wako unatokana na Mungu