Netanyahu Awe Yerobohamu Namba Tatu Ama Ahabu Namba Mbili

Netanyahu Awe Yerobohamu Namba Tatu Ama Ahabu Namba Mbili

Msela Wa Kitaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2021
Posts
2,217
Reaction score
4,272
20250613_080116.jpg

Biblia inamtaja Yerobohamu mwana wa Nebati mara kwa mara kama mfano wa “mfalme aliyefanya dhambi na kuwaongoza Israeli kutenda dhambi” — almost kila mfalme aliyefuata katika ufalme wa kaskazini (Israeli) alilinganishwa naye vibaya.


Ahabu (Mume wa Yezebeli) – 1 Wafalme 16:30-33

"Ahabu mwana wa Omri alitenda maovu machoni pa Bwana kuliko wote waliomtangulia."
Ahabu ni mzito, anashindana na Yerobohamu kichwa kwa kichwa—huyu ni kama "Yerobohamu kwa turbo.
 
Netanyahu ni habari nyingine; kwa wakati mmoja anachapa SYRIA, GAZA, LEBANON, YEMEN, NA IRAN baba lao.
Waarabu wa Saudi Arabia na Jordan walishajisalimisha kwa Israel na Sasa ni marafiki wa kudumu.
 
Sijui maayatollah watakimbilia wapi kujihifadhi, maana watafikiwa safari hii. Ukisema wakimbilie saudia kule hawaelewani na masuni, ukisema wakimbilie urusi kule nako moto unawaka urusi inazidiwa kupondwa na ukraine. Labda wakimbilie korea kaskazini au china wakajihifadhi huko
 
Sijui maayatollah watakimbilia wapi kujihifadhi, maana watafikiwa safari hii. Ukisema wakimbilie saudia kule hawaelewani na masuni, ukisema wakimbilie urusi kule nako moto unawaka urusi inazidiwa kupondwa na ukraine. Labda wakimbilie korea kaskazini au china wakajihifadhi huko
Kwamba Urusi anapigwa na Ukraine😄😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom