Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Katika video inayosambaa mtandaoni inamuonesha waziri mkuu wa Israel, Netanyahu akiwashutumu waislamu kwa kumshawishi Adolf Hitler kuwauwa na kutaka kutokomeza taifa hilo. Adolf Hitler aliacha historia isiyosahaulika kwa waisraeli kutokana na mauaji aliyoyafanya dhidi wayahudi, ambayo yalipewa jina la "THE HOLOCAUST". Katika video hiyo Waziri mkuu wa Israel, Netanyahu alisikika akisema;
Hitler hakutaka kuwaangamiza wayahudi kwa kipindi kile, bali alitaka kuwafukuza wayahudi, na Haj Amin al-husseini alienda kwa Hitler na kusema, "Ukiwafukuza watakuja hapa" (akimmanisha kurudi Palestina). "Kwa hiyo nifanye nini kwao" Hitler aliuliza. Haj Amin al-husseini akasema "Wachome moto".
Kwa kauli ya Netanyahu anamaanisha Adolf Hitler hakutaka kuwaua wayahudi, lakini waislamu walimshawishi afanye hivyo.
Tizama mahojiano hapo chini.
View: https://www.instagram.com/reel/CydEbv2q-rv/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Hitler hakutaka kuwaangamiza wayahudi kwa kipindi kile, bali alitaka kuwafukuza wayahudi, na Haj Amin al-husseini alienda kwa Hitler na kusema, "Ukiwafukuza watakuja hapa" (akimmanisha kurudi Palestina). "Kwa hiyo nifanye nini kwao" Hitler aliuliza. Haj Amin al-husseini akasema "Wachome moto".
Kwa kauli ya Netanyahu anamaanisha Adolf Hitler hakutaka kuwaua wayahudi, lakini waislamu walimshawishi afanye hivyo.
Tizama mahojiano hapo chini.
View: https://www.instagram.com/reel/CydEbv2q-rv/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==