Netanyahu, kiongozi wa nchi mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani - utafiti.
hata kenyatta nae ni left handed personJamaa kumbe anaandikia kushoto...ndo maana ana IQ kubwa kuliko karibia waarabu wote Middle East
Said Michael is geniusJe unamfagilia huyu ?View attachment 640340
Ila Kenyatta ana iq ya kukuhata kenyatta nae ni left handed person
Kwasababu wakati ule tulikunywa maji ya ujamaa na tulipingana na nchi zote zilizo kubaliana ma apartheid ya South Africa.Akubarikie ntambariki. atake kulaani Nami nitamlaani. Unakumbuka Ile operation thunderbolt? KenyattaMzee aliwapa kila msaad waliohitajiWaliongeza mafuta ndege zao embakasi. Mara baada ya mission wagonjwa na majeruhi walipumzika kenyatta hospital kwa matibabu zaidi. Tangia hapo wakenya wamekua ndugu na wayahudi,ndugu kuliko ujuavyo wewe. Kwanini hiyo bahati haikupita kwetu?? Utanisaidia kujibu.
Labda Mamako....Uhuru usilingnishe na mamakoIla Kenyatta ana iq ya kuku
Mkipigana makonde mi simoLabda Mamako....Uhuru usilingnishe na mamako
Comment hii ya kitotoLabda Mamako....Uhuru usilingnishe na mamako
Huyu jamaa ana bichwa ka muhogo.. Sijui anaitwa nani aseeJe unamfagilia huyu ?View attachment 640340