Netanyahu atinga mjini! Aacha ujumbe mzito..

1academ

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
1,973
2,497
Netanyahu alihudhuria kuapishwa kwa kenyatta hii leo na baadae kufanya mazungumzo kabambe na marais kadhaa toka africa!
FB_IMG_1511889155162.jpg
FB_IMG_1511889148404.jpg
FB_IMG_1511886648933.jpg
FB_IMG_1511886640694.jpg

Na rais wa uhabeshi.
FB_IMG_1511886582410.jpg
 
Akutana na kagame mzee wa kazi na kuahidi kufungua balozi hapo kigali mwakani!
FB_IMG_1511886533323.jpg
 
Akubarikie ntambariki. atake kulaani Nami nitamlaani. Unakumbuka Ile operation thunderbolt? KenyattaMzee aliwapa kila msaad waliohitajiWaliongeza mafuta ndege zao embakasi. Mara baada ya mission wagonjwa na majeruhi walipumzika kenyatta hospital kwa matibabu zaidi. Tangia hapo wakenya wamekua ndugu na wayahudi,ndugu kuliko ujuavyo wewe. Kwanini hiyo bahati haikupita kwetu?? Utanisaidia kujibu.
 
Akubarikie ntambariki. atake kulaani Nami nitamlaani. Unakumbuka Ile operation thunderbolt? KenyattaMzee aliwapa kila msaad waliohitajiWaliongeza mafuta ndege zao embakasi. Mara baada ya mission wagonjwa na majeruhi walipumzika kenyatta hospital kwa matibabu zaidi. Tangia hapo wakenya wamekua ndugu na wayahudi,ndugu kuliko ujuavyo wewe. Kwanini hiyo bahati haikupita kwetu?? Utanisaidia kujibu.
Kwasababu wakati ule tulikunywa maji ya ujamaa na tulipingana na nchi zote zilizo kubaliana ma apartheid ya South Africa.
 
Back
Top Bottom