G7seven
Member
- Mar 25, 2022
- 95
- 250
Unaelewa maana ya masimulizi ww mnasifia wanaume wezenu had mnashindwa ficha ujinga wenuNarudia tena, DeepPond ndio msimuliaji bora nikilinganisha na wengine wote. Ili yule mkurya asije na ID ngeni kuninanga nina wivu basi leo nitasema kwanini huyu ni bora kuliko wote.
1. Kuandika stori kali wapo walioandika wengi tu ila ni wale wa itaendelea, huyu hana hizi mambo so anawazidi hapo
2. Uandishi binafsi, wapo walioandika vizuri kabisa kama The Bold etc. Hapa anagawana nao marks
Sikupenda kusema nani zaidi au nani si zaidi ila tukikaa kimya kuna watu hawana uwezo wanapata sifa za bure. Mimi ni muumini wa kumpa mtu kile anachostahili.
Siku moja mtu mmoja akasema UMUGHAKA ndio mwandishi bora, niliudhika sana. Yule mwamba hajui kuandika, nikisema hivyo waandishi wanaelewa.
Kuna mtu juzi akaninanga ati nina wivu sababu sina stori za kuandika humu, nikacheka tu laiti angenijua.
Hii ni fani yangu na nina vitabu kadhaa mtaani vinavyofanya vyema, so mwandishi natoa maoni yangu kwa jicho la kiuandishi.
Layman yeyote akitaka kunipinga aje na hoja sio utoto wa ooh wivu ooh sina cha kuandika, niseme tu mimi nimebobea