tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Habari za kazi na siku waungwana,nimekuwa nikisoma baadhi ya mada naona neno 'popoma' huwa kuna baadhi ya wanaJF hupenda sana kulitumia lakini katika hali ambayo huwa linaelewekan kwa badhi tu.
Kwa wale wanaolijua hili neno je nini maana yake na linatakiwa kutumika wapi?
Kwa wale wanaolijua hili neno je nini maana yake na linatakiwa kutumika wapi?