Neno 'mtukufu' badala ya mheshimiwa

Neno 'mtukufu' badala ya mheshimiwa

JFK wabongo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2015
Posts
3,887
Reaction score
3,200
Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh. Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.

My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata Rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel na tuliona siyo sawa.

Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais.

Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.

Nawasilisha!
 
Naamini hata Mh.Rais halipendi ndo maana hajalitumia kwenye picha rasmi ya rais.
 
Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.
My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel; na tuliona siyo sawa. Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais. Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.
Nawasilisha!
Ilihitaji "akili Kubwa" kuelewa Matumizi Halisi ya lile neno Lissu was very tricky kumuita hivyo "mtukufu" kwani yeye Pombe ni mwenye kujikweza kwamba yeye ndio yeye na neno Lake ni zaidi ya sheria zilizopo.
 
Ilihitaji "akili Kubwa" kuelewa Matumizi Halisi ya lile neno Lissu was very tricky kumuita hivyo "mtukufu" kwani yeye Pombe ni mwenye kujikweza kwamba yeye ndio yeye na neno Lake ni zaidi ya sheria zilizopo.
Nimefuatilia opponent wengi wa rais wanali-advocate hilo neno. Ni uchochezi uliojificha.
 
Tukimwita mtukufu hamtaki, tukimwita mh. mnasema uchochezi, sasa tumuiteje? Naota
Nafikiri kuna maamukio yanayokubalika, siyo kila mtu abuni lake.
 
Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.
My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel; na tuliona siyo sawa. Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais. Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.
Nawasilisha!
Mkuu Nyerere nadhani kuna kipindi alikua anaitwa mtukufu. Nenda kaangalie jiwe la msingi la terminal 2 pale airport...utaona wameandika "jengo hili limezinduliwa na mtukufu rais".
 
Mkuu Nyerere nadhani kuna kipindi alikua anaitwa mtukufu. Nenda kaangalie jiwe la msingi la terminal 2 pale airport...utaona wameandika "jengo hili limezinduliwa na mtukufu rais".
Hoja yangu hapa ni kwa nini wapinzani ndo wanaongoza kwa kumuita Magufuli 'mtukufu'? Ni jambo gani wanalipika akilini mwa watu wa kawaida?
 
Back
Top Bottom