Wakuu salaam,
Ukiperuzi mitandao ya kijamii, ukaona vile watu wanaenjoy maisha, huwezi amini kama wanapitia magumu katika maisha yao halisi.
Neno langu kwao wagunduzi hawa Mungu awasamehe dhambi zao na awaandalie pepo ya kipekee maana wametutengenezea staara ya magumu yetu.
Karibu nawe uwape neno hawa miamba.
Ukiperuzi mitandao ya kijamii, ukaona vile watu wanaenjoy maisha, huwezi amini kama wanapitia magumu katika maisha yao halisi.
Neno langu kwao wagunduzi hawa Mungu awasamehe dhambi zao na awaandalie pepo ya kipekee maana wametutengenezea staara ya magumu yetu.
Karibu nawe uwape neno hawa miamba.