Neno Mila + Uchaguzi Arumeru + Magamba

uttoh2002

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
14,697
26,491
Wazee Wa Jamvi nawapa heshima zenu, jamani mi nashangazwa Sana na hili neno mila, wazee Wa mila na wazee Wa Kimeru, hivi jamani wameru tu watengeru ambao meno yameharibika kwa ajili ya fluoride ya mount Meru Ndo wanamila tu? Kila kitu Magamba wakiongea wanasema "kwa mila ya Kimeru ni laana na CDM waache Mara moja.

My take:

Pelekeni njaa zenu huko na mila zenu mnazozitumia na Magamba kutishia watu maisha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…