Neno la siku: Mwanaune linda mfuko wako

Neno la siku: Mwanaune linda mfuko wako

Mp19

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2019
Posts
259
Reaction score
726
Habari wanaume wenzangu!
Siongezi wala kupunguza neno. Mwanaume Linda mfuko wako dhidi ya wanawake.
Kuna used mmoja nimetoka naye out siku moja kesho yake tu ananiomba hela sijui alisahau jana nilimpa hela kama 40k.
Sigusi tena uchi wake maana anaugeuza kitegauchumi, sasa ananipigia simu nimfungulie saloon.
Weeeehh nikufungulie saloon utanipa mini?
Unajua mama yangu anakula nini kijijini?
Moderator naomba mnirekebishie hapo juu kidogo, neno mwanaume limeandikwa mwanaune.
 
Habari wanaume wenzangu!
Siongezi wala kupunguza neno. Mwanaume Linda mfuko wako dhidi ya wanawake.
Moderator naomba mnirekebishie hapo juu kidogo, neno mwanaume limeandikwa mwanaune.
Kuliko kutumia nguvu nyingi kulinda mfuko,,, ni bora uoe au uwe na mtu mmoja mwaminifu ambae utamuoa na kama ulishaoa Basi utulie.
 
linda mfuko wako huku ukichimba shimo la kukusaidia usiku
 
Kuliko kutumia nguvu nyingi kulinda mfuko,,, ni bora uoe au uwe na mtu mmoja mwaminifu ambae utamuoa na kama ulishaoa Basi utulie.
Wewe bila shaka ni nanga wa kwata!
Ahahahaha
Nimetoka nje ya mada kulingana na user name yako.
 
W
Unapangia hela za wanaume matumizi .Tusipo wapa hela wataishije .?
Wafanye kazi waache kupenda kitonga, na kuendekeza kwao kitonga ndomaana wanaliwa mpaka Tigo.
 
W
Wafanye kazi waache kupenda kitonga, na kuendekeza kwao kitonga ndomaana wanaliwa mpaka Tigo.
Aya bana Mkuu ,,nilikuwa nakupa tu changamoto ,kiukweli hii jinsia inapaswa ifanye kazi iache kutumia uanawake kama kitega uchumi
Wanawake wa saiv unakuata hata hajamuowa ila anataka mwanaume umuhudumie
Wanaume wenzangu anahudumiwa mke tu ,,ukimuhudumia mwanamke kama sio mke iwe kupenda kwako tu ila sio yeye ahitaji,ashinikize au alazimishe
Binafsi natoa hela kwa mwanamke wangu lakini nikupenda kwangu na sio jukumu langu ,na nilisha mwambia mwenye jukumu juu ya maisha yako ni wewe mwenyewe na wazazi wako ,chochote nikupacho ni hiar yangu,ila nikikuowa ndo jukumuu langu.
 
Wanaume wa karne hii katika ubora wao,
Kwani kuna mtu anakabwa au kuibiwa au ny..........ge zako za kimaumbile na tamaa kushindwa kuzitawala ndio chanzo
Chunga Sana tamaa zako
 
Habari wanaume wenzangu!
Siongezi wala kupunguza neno. Mwanaume Linda mfuko wako dhidi ya wanawake.
Kuna used mmoja nimetoka naye out siku moja kesho yake tu ananiomba hela sijui alisahau jana nilimpa hela kama 40k.
Sigusi tena uchi wake maana anaugeuza kitegauchumi, sasa ananipigia simu nimfungulie saloon.
Weeeehh nikufungulie saloon utanipa mini?
Unajua mama yangu anakula nini kijijini?
Moderator naomba mnirekebishie hapo juu kidogo, neno mwanaume limeandikwa mwanaune.
well noted mkuu
 
Yaani eti Mimi uniite baby ndo kiwe kigezo cha kukufungulia saloon!!
Mkuu!! Ujue mwanaume mda mwingine ukipendwa unachanganyikiwa hadi akili zina hamia kwenye visigino!! Sasa imagine,

Mtu kuitwa baby, au my

Yaan unakimbilia kuji expose mzima mzima kabisa hahahaha ni kisangaaaa
 
Mkuu!! Ujue mwanaume mda mwingine ukipendwa unachanganyikiwa hadi akili zina hamia kwenye visigino!! Sasa imagine,

Mtu kuitwa baby, au my

Yaan unakimbilia kuji expose mzima mzima kabisa hahahaha ni kisangaaaa
Haya mambo ni magumu mno.
Unajua utamu uko ndani yetu na si ndani ya mwanamke.
Kitu ambacho wanaume wengi hawakijui.
 
Habari wanaume wenzangu!
Siongezi wala kupunguza neno. Mwanaume Linda mfuko wako dhidi ya wanawake.
Kuna used mmoja nimetoka naye out siku moja kesho yake tu ananiomba hela sijui alisahau jana nilimpa hela kama 40k.
Sigusi tena uchi wake maana anaugeuza kitegauchumi, sasa ananipigia simu nimfungulie saloon.
Weeeehh nikufungulie saloon utanipa mini?
Unajua mama yangu anakula nini kijijini?
Moderator naomba mnirekebishie hapo juu kidogo, neno mwanaume limeandikwa mwanaune.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom