Neno la Shukrani

Pole sana Mashana, ila msiba huu kwa namna moja au nyingine unanihusu.

Maana nimeona picha za mazishi ni mama mzazi wastaff mwenzangu ama ni kaka yako aka Mdogo wako au ndio we mwenyewe.

Ref. ....................victor? But sorry! To mention ...
 
Pole sana Mashana, ila msiba huu kwa namna moja au nyingine unanihusu.

Maana nimeona picha za mazishi ni mama mzazi wastaff mwenzangu ama ni kaka yako aka Mdogo wako au ndio we mwenyewe.

Ref. ....................victor? But sorry! To mention ...
Thanks kwenye picha ni Victor ni kakaangu akitoka yeye ni mimi
 
Thanks kwenye picha ni Victor ni kakaangu akitoka yeye ni mimi
Aiseee bwana eeh kumbe humu watu mnaweza kuwa mnajuana afu ndio ile mnazondoana.
Hahaaha victor mtu Wangu simply to say .... Sawa Siku wanasema humu mshana kafiwa nami nilikuwa na taarifa mama Mzazi wa victor kafariki, sasa picha nilizotumiwa huku ndio hiyo umeweka hapo nikapata picha kamili. Pole sana ni mama yetu sote hakika. Huenda IPO Siku victor atatuunganisha. Mpe hi na pole pia.
 
Aamen asante sana hizi
zetu bondia zinaficha mengi sana
 
Hahaha sana mkuu dah sitakuja kumu harass mtu humu tena aisee!
yeah ni muhimu sana kuna kisa nitakuja kusimulia hapa it was a weird coincidence! Huyo hater wangu mpaka Leo ni mshkaji wangu (I don't mean to reveal anything here) ila kwa ruhusa yake kuna siku nitasimulia
 
yeah ni mizimu sana kuna kisa nitakuja kusimulia hapa it was a weird coincidence! Huyo hater wangu mpaka Leo ni mshkaji wangu (I don't mean to reveal anything here) ila kwa ruhusa yake kuna siku nitasimulia
Hahahaha naomba akiruhusu Siku hiyo unitag!
Sema nawe mshikaji story zako za kuzimu zinafanya nakuogopaga sana(joke)
 


Pole mkuu
...ukweli imekomaa kiimani na hata kihisia pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…