The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Habari za jumapili wadau!! Ndo nimetoka church,na
Naomba kwa wanaoguswa tushirikishane neno la leo..sie letu ni hadithi ya ezekia inayopatikana 2 wafalme 20..ni hadithi ya ezekiah
Tunaona baada ya kuumwa,hatimaye anapewa habari ya kufa kwake kutoka kwa nabii isaya..the message was from god himself.
Lakini pamoja na hayo,biblia inasema akaelekeza uso wake UKUTANI akaanza kumwomba Mungu mwenyewe kuhusu habari ya uhai wake..kabla isaya hajatoka katika mji,Mungu akatengua kifo cha ezekia..akamwambia isaya arudi na kumpa taarifa ezekia kwamba bwana ameskia maombi yake na kuona machozi yake.
The point is,no matter what youre going through,just give it your back and face god,talk to god! Yeye ndo Mungu anaskia na anajibu..biblia katika isaya inasema zungumza tuhojiane,eleza shida zako. You just need a litle faith (hebrew 11:6) to move god,not even the longest prayer..
Dont listen to people-they can be so hurtful,disappointing and disheartening..thing is,talk to god,hes the master of the wind,he can calm the storm ad make the sun shine again in your life.Hes the one who ordains your destiny.ezekiah aliongezewa 15 yrs za kuishi,sembuse wewe kuponywa ama kupata ajira?Whatever your storm in life is,dont let it kill your spirit,dont let people determine your attitude.
Just shift the focus from the people and your problem kama ezekiah.Face god,talk talk to him-And hell do it...atafanya amini tu! Oh Glory to God!
Naomba kwa wanaoguswa tushirikishane neno la leo..sie letu ni hadithi ya ezekia inayopatikana 2 wafalme 20..ni hadithi ya ezekiah
Tunaona baada ya kuumwa,hatimaye anapewa habari ya kufa kwake kutoka kwa nabii isaya..the message was from god himself.
Lakini pamoja na hayo,biblia inasema akaelekeza uso wake UKUTANI akaanza kumwomba Mungu mwenyewe kuhusu habari ya uhai wake..kabla isaya hajatoka katika mji,Mungu akatengua kifo cha ezekia..akamwambia isaya arudi na kumpa taarifa ezekia kwamba bwana ameskia maombi yake na kuona machozi yake.
The point is,no matter what youre going through,just give it your back and face god,talk to god! Yeye ndo Mungu anaskia na anajibu..biblia katika isaya inasema zungumza tuhojiane,eleza shida zako. You just need a litle faith (hebrew 11:6) to move god,not even the longest prayer..
Dont listen to people-they can be so hurtful,disappointing and disheartening..thing is,talk to god,hes the master of the wind,he can calm the storm ad make the sun shine again in your life.Hes the one who ordains your destiny.ezekiah aliongezewa 15 yrs za kuishi,sembuse wewe kuponywa ama kupata ajira?Whatever your storm in life is,dont let it kill your spirit,dont let people determine your attitude.
Just shift the focus from the people and your problem kama ezekiah.Face god,talk talk to him-And hell do it...atafanya amini tu! Oh Glory to God!