unajisemea wewe ama? naomba tu kujua sina ubaya wowoteKuna wakati unatamani kusingekuwa na mapenzi
duniani. Unampenda mtu kwa moyo wote anaishia
kukupa maumivu. Kuna wakati unatendwa hadi
unatamani kuua lakini unaishia kulia. Usivunjike
moyo, uliyepangiwa anakuja,
Endelea kusali, hujachelewa bado.
Unamgundua yule uliyenaye alikuwa siye baada ya Kuyasaliti makubaliano yenuSasa kama wako uliepangiwa hajaja kwa nini uanze mahusiano wakati uliepangiwa hajawadia ? Na utajuaje kama huyu ndie uliepangiwa je ni kutest kila mmoja au??
Bado hapa pana shidaaa!!!
Aaah! Naelewaaajoanah asikwambie mtu Kutemwa kunauma,
kuna kipindi nilijiona nakaribia kupata matatizo ya moyo, manake moyo ulikuwa unauma live yani, Usiombe
Acha tu joanah , Usinikumbushe mbali...Aaah! Naelewaaa
Mi apa kati si nilibwagwa bhana
Kula hakuliki, kulala hakulaliki, kusoma hakusomeki, kulia hakuliliki. . . In short mambo hayaendii
Yaani ni disaster juu ya disaster
Hahaha
Izi mishe za kupenda ambao hayajawakuta wasikie hadithi zake tuu
Sometimes Yes, Sometimes No!Every pain full story inakuaga na successful end
it's the theory by the way... Neno langu sio sheriaSometimes Yes, Sometimes No!
halafu umenisaidia kweli moyo ulikuwa unaenda speed hata nikajishangaaa.Bae hii ni ndoto tu alinihadithia rafiki yangu... Hata haiusiani namimi
Ukweli mtupu mtu anakuaita best akiwa amefulia ila baada ya hapo anakuita majina yako matatu adi unashangaa hayo mengine mawawili kayatoa wapi???