Every pain full story inakuaga na successful endBusara on fleek
Aya maneno yangenikuta kipindi kile nimebwagwa ingekua fresh sanaa
Ila thanks in advance kwa anaefata kunibwaga
Hopefully io theory itakua applied katika maisha yangu piaEvery pain full story inakuaga na successful end
we live in the world of theory mkuu!! Good luckHopefully io theory itakua applied katika maisha yangu pia
wacha kujitia uchuro. wengine sie hatujui kuacha!Busara on fleek
Aya maneno yangenikuta kipindi kile nimebwagwa ingekua fresh sanaa
Ila thanks in advance kwa anaefata kunibwaga
Sio uchuro mkuu. . . Kuachwa hakupingikiwacha kujitia uchuro. wengine sie hatujui kuacha!
Ukijijenga na mentality ya siachiki, utafanikiwa kwa vile utasimamia yale unayoyaamini. Ukiishi huku unaamani kuwa ipo siku utaachika, ujue kuachwa kuko njiani!Sio uchuro mkuu. . . Kuachwa hakupingiki
japo siombei kuachwa ila najua kupo so ni bora kutarajia ila kusitokee kuliko kutotarajia afu ikatokea ukabwagwa
Haupo pekeyako ndugu yangu, Tupo wengi tuliopitia Majeraha ya Kutendwa mpaka mioyo imeota sugu sema ndo hakuna mkate mgumu mbele ya chaiDah naendelea kumuomba mungu ...naamini ntampata ..MTU atakaye kuja kunisahaulisha ..all pains