KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Wana JF nemeona ni vizuri tushilikiane neno kuu la leo ambalo linasema Upendo kati ya wapendanao haugawanyiki kamwe. Hii ni kutokana kwamba wivu ambao mwanaume unao ndio uleule alionao mwanamke. Mfano kama una mke na mke huyo anakwenda kufanya mambo yale ya kiutu uzima nje ya uhusiano wenu, wivu utakaokuwa nao ndio huohuo atakaoupata mwanamke pale mwanaume utakapoamua kuasi na kwenda nje ya ndoa au mahusiano yenu kuanzisha nyumba ndogo,ya kati na kubwa.
Hivyo wana JF tusigawanye upendo maana haugawiki. Mwisho wake utauzidisha kwa mmoja na kuupunguza kwa mwingine na kuleta migongano katika nyumba na kukosa mwelekeo.
Ni hayo tu kwa leo.
Hivyo wana JF tusigawanye upendo maana haugawiki. Mwisho wake utauzidisha kwa mmoja na kuupunguza kwa mwingine na kuleta migongano katika nyumba na kukosa mwelekeo.
Ni hayo tu kwa leo.