Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,644
- 79,055
umemaliza maana zote.....?
Leo umepiga mabao mangapi au umepigwa bao ngapi?
Nilisahau hii
na ile kibao cha Mbuzi...unaijua?
Una hamu ya kupigwa Bao?...
kile sikijui....una picha yake......
Unavuka mipaka mkuu. Nimekuuliza umepiga au umepigwa?
Bebi si ugoole image utakiona
hapo unamaanisha nini?..
Namaanisha kama wewe ni gori kipa basi umepigwa magori mangapi?
Mie hapa hata sielewi mnajalili mabao gani hapa!embu ngoja nifike hapo mbele kwanza lol.
Umefanya la maana Baba ako angekukuta hapa angekupiga mabao mpaka ungekoma
Mie hapa hata sielewi mnajalili mabao gani hapa!embu ngoja nifike hapo mbele kwanza lol.