mbona kuna nying apa si za kisharobaro?
ni lugha tu za kimtaan za kawaida nyng ni za kisela zaid lakin si za ao wapaka poda...yaan kuna kiswahil cha kihun na kiswahili cha masharobaro/mabrazamen ao ambao wanaenda ulaya kwa kupitia tv..AKIONA MTU KASEMA DAMME KWENYE MOVIE BAS KESHO ANAYO ..ata mamake mzaz akimwita we john njo kula chakula tayar anajibu ... damme't....wanavaa km wapo majuuu,na swaga nyngne za majuuu...yes maan...yees bebb.....yees i wan popcon....:love: