simple one
Senior Member
- Feb 24, 2014
- 168
- 69
kwani wewe ni nani hata usipate experience ya kuumizwa na mapenzi kidogo,
kila kitu kinataka experience siku hizi, siku ukija kuingia ndoani unakuwa una uzoefu wa vingi.
ndo maisha hayo, jipange anza upya
kila kitu kinataka experience siku hizi, siku ukija kuingia ndoani unakuwa una uzoefu wa vingi.
ndo maisha hayo, jipange anza upya