Wadau tunajadli katiba mpya kipindi hii ila naomba kuwasilisha hoja ja kuona ile nembo ya taifa nayo kama inahitaji mjadala naona kama haiendani na karne hii, naomba kuwasilisha!:embarassed2:
Sasa wewe unataka tujadili nembo ya taifa ambalo limeuzwa?Au jamaa alivovaa gauni yeye na mke wake unaona kama kijima vile?kwa taarifa yake hata huko ulaya gauni ni vazi la heshima sana tena jamaa wanava na sketi kumbuka wakati fagason wa Man U alipokuwa anapewa U sir na malikia alitinga na sketi yake safi na baadaye kwenye hafla akavaa gauni la zambarau!!!But all in all hujakosea kualika mjadala wa kitu kama hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.