Neema za Mkutano wa SADC kwa Wachonga Vinyago na Wajasiliamali wa Makonda, Mhh... KFC Yapumulia Mashine, Masaa Mawili, Mteja Mmoja!.

Ww
Wanabodi,Habari ni bure na sisi waandishi wa habari tunaingia popote kwenye habari, lakini kinapotokea matukio muhimu kama haya, Wanaachaguliwa waandishi wa habari wa vyombo muhimu, na hata huko newsroom wanachaguliwa waandishi wenye nidhamu ambao hawawezi kuwa embarrass wageni. Kwa kawaida sisi ma freelance huwa hatualikwi na haswa inapotokea ma freelance wenyewe ni wale wa type maswali magumu ndio sahau kabisa!. Nasubiria kuangalia interviews za vox pop na one on one za waandishi wetu na marais wa SADC kama interview hii


Hivyo leo nikaamua kajialika mwenyewe kwa Wachonga Vinyago na wajasiliamali wa Makonda waliopewa maeneo kupanga bidhaa zao kuchangamkia fursa za Mkutano huu wa SADC.

Kwa vile ugeni mkubwa bado upo naomba nisiseme nilichoona wala nisiwaeleze hawa wajasiliamali wamesema nini, maana nidhamu na adabu mbele ya wageni ni kuongea mazuri tuu hadi ugeni uondoke, nisije kunyooshewa vidole yaani katika yoote ya Mkutano huu wa SADC wewe ndio ukaamua kuangazia Wachonga Vinyago na wajasiliamali wa Makonda wamefaidikaje na Mkutano huu!. Ngoja tunyamaze kwanza wageni waondoke ndipo tuelezane.

Thanks God mimi kufuatia uzoefu wa kuhudhuria mikutano kama hii ya wazungu na Waswahili nilitoa angalizo kabla.


Tukiachana na hawa Wachonga Vinyago na wajasiliamali wa Makonda, kuanzia saa 4:00-6:00 nika amua kujisogeza katika mgahawa wa KFC jirani na ukumbi wa Mkutano ili kusubiria labda mkutano ukiishafungwa ndipo wajumbe, watavamia Vinyago, huwezi amini katika masaa mawili hayo, mteja aliyeingia hapo KFC ni mteja
mmoja tuu, mimi!.

Hii maana yake ni kuwa kwa hii KFC ya mjini, kama hali hii ni Jumapili tuu, au sabbu ya mjtano huu, lakini kama ni purchasing power, then inaweza kuwa inapumulia mashine, na haina maisha marefu itafungwa.
Naomba wenye uwezo wa kutunza kumbukumbu naombeni mtunze kumbukumbu ya bandiko hili ili hili la KFC ya mjini ikija kufungwa mjue kuna waona mbali walioona.

P.
Njaaaa tu
 
Itakuwa vizuri waTanzania kutangaza fursa zeta ktk platform nyingi mfano YouTube iwe migahawa, tutorials, estate agency, gereji n.k Tuondokane na 'usiri' wa biashara zetu

In Dar Es Salaam, Tanzania, Ali's is a great restaurant located in downtown that does excellent mishkaki. Open hours: 5:30 pm -- 10:30 pm every night but Tuesday Prices: You'll pay about 8,000 ($4.87) -- 12,000 TZS ($7.30) per person for a feast Address: Mwisho St., just off Morogoro road.

Source : Mark Wiens


Nimeangalia na kutamani.. shukurani kesho nitaenda nilikuwa sifahamu kuwa msosi wao mtamu.. maisha ya kwenda sehemu hizi ukiwa na watoto unakuta KFC na panapowavutia wao huwezi kutokwenda kila mara
 
Mkutano upi haikuwahi kufana? Tatizo sio mahudhurio bali utekelezaji wa makubaliano. Mahudhurio yana shida gani wakati kila anayehudhuria anapata imprest? Unasema nilichangishwa? kwahiyo kwa akili yako hao wazee wastaafu wa ccm imprest zao zililipwa na mfuko wa SADC?
Baada ya zile leaked clips ninyi mlitengeneza conspiracy theory kwamba wazee wastaafu wakiwamo Kikwete na Mkapa nao walikuwa nyuma ya wale makatibu na kwamba CCM kimenuka, Magufuli kasusiwa, 2020 watamtosa, kiko wapi? Tu najua roho zimewauma sana kuwaona marais wastaafu wote wamekuja kumuunga mkono Magufuli tena walisifiwa kweli na kama kawaida walipeana mikono na tabasamu la kutosha

Hiki kitu ndio kilichowafanya mzidi hata kuchukia kabisa hii summit sababu ni message kubwa sana kwamba CCM bado ni imara na viongozi bado wana mshikamano mkubwa hivyo ni pigo kubwa kwa ninyi mliokua mkiombea wafarakane. Endeleeni kuchochea kuni.

Ila kuweni makini tu baada ya kuni kuisha msijetumika ninyi badala yake.
 
Sijui KFC,Burger King,Macdonald etc hizo kwa nchi nzetu ni sehemu za middle class people kwenda kupata msosi,lakini ni cheap eating places kwa mataifa yenye uchumi mkubwa.Unfortunately middle class imeendelea kusinyaa katika awamu hii kuliko nyakati zozote.Kikwete aliijenga middle class,huyu wa sasa kaja kuipoteza kabisa.Hakuna future ya franchise hiyo bongo.

Watu wanaona wakwaubwie kwa mama ntilie kuliko kununua burger la Tsh 15,000.Kipato hakisomi.
 
Baada ya zile leaked clips ninyi mlitengeneza conspiracy theory kwamba wazee wastaafu wakiwamo Kikwete na Mkapa nao walikuwa nyuma ya wale makatibu na kwamba CCM kimenuka, Magufuli kasusiwa, 2020 watamtosa, kiko wapi? Tu najua roho zimewauma sana kuwaona marais wastaafu wote wamekuja kumuunga mkono Magufuli tena walisifiwa kweli na kama kawaida walipeana mikono na tabasamu la kutosha

Hiki kitu ndio kilichowafanya mzidi hata kuchukia kabisa hii summit sababu ni message kubwa sana kwamba CCM bado ni imara na viongozi bado wana mshikamano mkubwa hivyo ni pigo kubwa kwa ninyi mliokua mkiombea wafarakane. Endeleeni kuchochea kuni.

Ila kuweni makini tu baada ya kuni kuisha msijetumika ninyi badala yake.

Onyesha clip yoyote ambayo mimi nilisema hao wastaafu wa ccm wamemsusia Magufuli. Ulitegemea hao wastaafu kwenye uwepo wao waache kusifiwa na kuanza kupondwa? Kwani ulikuwa mkutano wa ndani wa ccm mpaka waulizane chama chama kina changamoto gani? Sina popote nilipoichukia hiyo summit, bali nasema uzoefu wangu wa hiyo mikutano zaidi ya 70% ya makubaliano huwa hayatekelezwi maana ni makubaliano ya wanasiasa zaidi.
 
KFC ya huku nilipo unanunua grilled chicken vipande Saba Yani paja na kidari kwa $ 6.99 tu. Nashangaa huko bongo kwanini wanauza bei mbaya sana
Huku Wana Monopoly huko mliko sehemu ziko nyingi.Huku yeye eneo kubwa Ni yeye tu mwenye chips kuku za high quality
 
Haa kaka Paskali, KFC unakwenda pale eg Kariakoo au karibu na IFM pale unapewa mguu wa kuku na vichips na soda bei 35,000 au 40,000

Nani ataweza hiyo hapa bongo? Trust me nilienda once sikurudi tena, tatizo bei zao hovyo sana, alafu kuku wenyewe wa kisasa..!😁
Nilienda ya mikocheni the last 2 weeks (huwa sina mazoea hayo ila nilikwenda kutokana na mtu nilokua nae dat day) though niliridhika na service lakin hapakunishawish kurud tena kwa gharama zile.
Ila wateja mm ikiona flow ni nzur tu sasa sijui inakuaje mjin kati kukosekane wadau na wakat mabishoo na ma sista duu wamejazana huko
 
Back
Top Bottom