"Neema za Allah" ndo hizi

"Neema za Allah" ndo hizi

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
ImageUploadedByJamiiForums1437631230.128645.jpg
 
Miwani yangu imeharibika lenzi sioni vizuri, hebu niambieni ni nini hicho hapo nyuma kwa huyo binti alievaa nguo kama nyeupe. Maandishi naona ila picha sioni vizuri wandugu.
 
Sababu ya kwenda kuoga ninayo ,uwezo wa kwenda kuoga ninao na nia ninayo..........isipokuwa tu maji ndio sina........
 
Kama wewe hutumii ni wewe, usituongelee wenzako. kama wewe hutumii unachokiona si uchukue flat screen na hizo neema za allah utuwachie wenyewe.

Mkuu mbona mkali, katishia kumwaga pombe nini
 
Kama wewe hutumii ni wewe, usituongelee wenzako. kama wewe hutumii unachokiona si uchukue flat screen na hizo neema za allah utuwachie wenyewe.

Hahahahaaaaaaa ����������������������
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom