Walimu tunautashi na akili za kutosha ndio maana tunafundisha na kuwatoa watu ujinga,leo hatuwezi kufanywa wajinga kwa kulipwa malimbikizo kipindi cha uchaguzi.Poleni sana tunajua kwa nini hzo hela zinakuja leo ila sisi na wanafunz tunaowafundisha kwa pamoja tumechagua mabadililo-Lowasa,Lowasa-mabadiliko.