Need somebody

Aiseeeeh...mimi sielewagi sijui bado sijafika huko digital... Hivi huko mtaani na mavyuoni hakuna watu hadi mje mtafute huku vivuli??????

Sorry for you...unahisi hii page unaitendea haki? Unahisi iliwekwa for what ? May be wewe ndio huelewi kwanini unatumia hii page....better ujiarekebishe...shame on you little hell
 

Honestly huyu dada ananikera....kwanza anajua target ya hii page au anataka watu waconnect politics ...Nina shaka na upeo wake hata huyo anaekubali huu mzigo wa kufikiri anashindwa hata kudadafua uhalisia...sikupendi tottaly weak girl ....
 
Sorry for you...unahisi hii page unaitendea haki? Unahisi iliwekwa for what ? May be wewe ndio huelewi kwanini unatumia hii page....better ujiarekebishe...shame on you little hell

Pole Sana mana povu linakumwagika hatari, ukweli unauma mxeeeeeeeew pole na udomo zege wako.
 
Honestly huyu dada ananikera....kwanza anajua target ya hii page au anataka watu waconnect politics ...Nina shaka na upeo wake hata huyo anaekubali huu mzigo wa kufikiri anashindwa hata kudadafua uhalisia...sikupendi tottaly weak girl ....

Pisheeeeeeeeee mwanaume mzima unashindwa kutongoza huko mtaani, unakimbilia mtandaoni lzm unakasoro ww.
 
Aiseeeeh...mimi sielewagi sijui bado sijafika huko digital... Hivi huko mtaani na mavyuoni hakuna watu hadi mje mtafute huku vivuli??????

Kote ni sawa tu,humu na vyuon ni wale wale tu
 
angelita calm down!! be an open minded person!!
 
Last edited by a moderator:
Pisheeeeeeeeee mwanaume mzima unashindwa kutongoza huko mtaani, unakimbilia mtandaoni lzm unakasoro ww.

We mama, hii ni biashara kama biashara nyingine. Kama huipendi pita kando usiwachafulie wengine.
 
We mama, hii ni biashara kama biashara nyingine. Kama huipendi pita kando usiwachafulie wengine.

Alaaaah kumbe biashara????? Mapenzi biashara??????

Kila mtu ana Uhuru wakutoa mawazo yake hapa, Kama nimekukera katapikie huko usinimwagie tapishi lako mxeeeeeeew.
 
Aiseeeeh...mimi sielewagi sijui bado sijafika huko digital... Hivi huko mtaani na mavyuoni hakuna watu hadi mje mtafute huku vivuli??????

Mtaani kabla ya chuo aliwaza elimu, hivyo nafasi ya kupendezwa kimahusiano ikawa ndogo hatimaye hakuona wa kumfaa kama walikuwepo. Akiwa chuo aliwaza zaidi masomo na ikazuia kumpenda mtu kwa dhati kama nako walikuwepo. Aliporudi mtaani kutoka chuo mambo yakawa yamebadilika; baadhi hakuwakuta single tena, na wengine sio chaguo lake tena kutokana na mabadiliko kimtazamo. Kama umebahatika kuyamaliza mtaani, chuoni, au kazini shukuru!
 

Umejitahidi kutoa maelezo marefu, haya kunywa maji utulizane.
 
wewe Angelita sisi tulippo uku ndio tuliopo uko vyuoni na kila mahalii au mpenzi wako wewe hayupo jf au fb au kokote??? acha useng***
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…