dada Angelita, huwa naipendaga sana hii kauli-mbiu yako humu kwenye love connect, you always spit it out barely straight forward. The same phrase point of comment, on the like-minded posts!
Lakini leo let me pose a simple question for u: Ivi hawa vivuli (including you) waliomo humu si ndio hao hao walioko huko uraiani (including mavyuoni)?? Alafu hebu kuwa honest... Katika maisha yako hujawahi kabisa kupata friends (just ordinary friendship) kupitia hizi social nets ambao leo hii wamekuwa among of ur best friends? mojawapo ya features za social nets ni KUKUTANISHA watu for several purposes.
Au you trying to tell the public kwamba ukimeet na mtu/mpenzi uraiani au vyuoni ndo guaranteed kudumu na uhusiano huo? and you trying to tell the public kwamba watu (vivuli) WOTE waliopo kwenye social nets ni wa-hovyoo when it comes to love/relationship? Nina ushuhuda wa couple 3 ambao wote walimeet kwenye social nets. couple 2 tayari wameshafunga ndoa, couple nyingine ndo wapo kwenye uchumba na wanatarajia kufunga ndoa in April this 2015.
HAKUNAGA formula ya kwamba ukikutana nae mahala fulani eti huyo ndo mpenzi/mchumba/mke/mume/ bora, NEVER!!! Unaweza kumpata kanisani na akawa ni bazazi vile vile (coz hata malaya/wazinzi/wezi/matapeli n.k. nao wanaenda kanisani kama kawa). Unaweza kumpata msikitini na akawa ni firauni vile vile. Unaweza kumpata huko vyuoni/uraiani na akawa ni mnyambisi vile vile. Hali kadharika umu mitandaoni ni hvyo hivyo... wenye nia ya dhati wapo, na viruka-njia & matapeli wapo pia. My key concern ni kwamba HAO WALIOPO HUKO URAIANI/VYUONI NDO HAWA HAWA VIVULI KWENYE SOCIAL NETS. Sio miti wala mawe, bali ni watu hao hao ndo wana-join hizi social nets, period!!
Mpendwa ebu acha hiyo 'conservative mentality' katika karne hii. Don't discourage seekers. Let them try to unfold the luck side of theirs. 'Uchumi wasiukalie'. hehehee
BTW... Don't take LIFE too seriouz, coz it's not permanent. :cool2:
With due respect and without prejudice, I humbly submit!
-Kaveli-