Simara JF-Expert Member Oct 1, 2014 7,512 23,929 Mar 31, 2017 #1 Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda. Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017. Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni ufungwe tena muanze kulalamika.
Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda. Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017. Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni ufungwe tena muanze kulalamika.
TangataUnyakeWasu JF-Expert Member Dec 18, 2016 1,268 1,611 Mar 31, 2017 #3 ringson said: Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda. Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017. Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni ufungwe tena muanze kulalamika. Click to expand... Usajili wa kitu gani mkuu
ringson said: Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda. Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017. Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni ufungwe tena muanze kulalamika. Click to expand... Usajili wa kitu gani mkuu
Simara JF-Expert Member Oct 1, 2014 7,512 23,929 Mar 31, 2017 Thread starter #4 daud bashet said: Usajili??wa nini tena? Click to expand... Wanaotarajia kufanya mtihani wa kidato cha nne October.
daud bashet said: Usajili??wa nini tena? Click to expand... Wanaotarajia kufanya mtihani wa kidato cha nne October.
Simara JF-Expert Member Oct 1, 2014 7,512 23,929 Mar 31, 2017 Thread starter #5 TangataUnyakeWasu said: Usajili wa kitu gani mkuu Click to expand... CSEE mkuu