NECTA waongeza usajili mbele mpaka tarehe 30/04/2017

NECTA waongeza usajili mbele mpaka tarehe 30/04/2017

Simara

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
7,561
Reaction score
23,991
Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda.

Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017.

Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni ufungwe tena muanze kulalamika.
 
Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda.

Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017.

Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni ufungwe tena muanze kulalamika.
Usajili wa kitu gani mkuu
 
Back
Top Bottom