NECTA: Taarifa kwa umma

Naisoma360

JF-Expert Member
Jan 23, 2015
820
491
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
necta-logo.png

TAARIFA KWA UMMA
Baraza la Mitihani la Tanzania limesikitishwa na taarifa ya UONGO iliyotolewa na Gazeti la Nipashe toleo Na. 0579130 la tarehe 19 Februari 2017 yenye kichwa cha habari kilichosomeka Mchujo FORM 1 Wasisitizwa. Katika taarifa hiyo mwandishi aliuarifu umma kuwa Katibu Mtendaji amesisitiza uwepo wa Upimaji huo na kwamba umeshapitishwa. Baraza linapenda kuwajulisha wanafunzi na umma kwa ujumla kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki.
Hivyo,Baraza linaomba umma kuzipuuza taarifa hizo kwa kuwa upimaji huo

ULISHASITISHWA na HAUTAKUWEPO.
Imetolewana,

AFISA HABARI NA UHUSIANO

chanzo: NECTA
 
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
necta-logo.png

TAARIFA KWA UMMA
Baraza la Mitihani la Tanzania limesikitishwa na taarifa ya UONGO iliyotolewa na Gazeti la Nipashe toleo Na. 0579130 la tarehe 19 Februari 2017 yenye kichwa cha habari kilichosomeka Mchujo FORM 1 Wasisitizwa. Katika taarifa hiyo mwandishi aliuarifu umma kuwa Katibu Mtendaji amesisitiza uwepo wa Upimaji huo na kwamba umeshapitishwa. Baraza linapenda kuwajulisha wanafunzi na umma kwa ujumla kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki.
Hivyo,Baraza linaomba umma kuzipuuza taarifa hizo kwa kuwa upimaji huo
ULISHASITISHWA na HAUTAKUWEPO.
Imetolewana,

AFISA HABARI NA UHUSIANO
Afisa habari ndio wewe mkuu?
 
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
necta-logo.png

TAARIFA KWA UMMA
Baraza la Mitihani la Tanzania limesikitishwa na taarifa ya UONGO iliyotolewa na Gazeti la Nipashe toleo Na. 0579130 la tarehe 19 Februari 2017 yenye kichwa cha habari kilichosomeka Mchujo FORM 1 Wasisitizwa. Katika taarifa hiyo mwandishi aliuarifu umma kuwa Katibu Mtendaji amesisitiza uwepo wa Upimaji huo na kwamba umeshapitishwa. Baraza linapenda kuwajulisha wanafunzi na umma kwa ujumla kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki.
Hivyo,Baraza linaomba umma kuzipuuza taarifa hizo kwa kuwa upimaji huo
ULISHASITISHWA na HAUTAKUWEPO.
Imetolewana,

AFISA HABARI NA UHUSIANO
hii habari haina faaida kabisa kwetu. elezeeni uhakiki wa uongo mlioufanya tangu mwezi wa 10 kwa muda wa mwezi mmoja, ila cha ajabu mpaka sasa eti mnaendelea kufanya.
 
Back
Top Bottom