Hallooooooooo!
Kwa yeyote mwenye kufahamu!
Plz anijuze!
Hivi NECTA wanaunganisha kile cheti cha zamani na kile kipya kinachopatikana baada ya kurisiti?
Naombeni kujuzwa kwa yeyote mwenye kufahamu!
NB:
nilikuwa natembelea web ya NECTA nikakuta tangazo kuwa wale wenye vyeti vya matokeo ya awali ya form IV wayakabidhi kwa wakuu wao wa shule ndipo wapewe vipya vilivyobadilishwa matokeo, hapo ndio wazo likanijia kuwa hivi NECTA wanabadilisha vile vyeti vya zamani na kuunganisha na vya kurisiti ama mtu unaendelea kuwa na vyeti viwili viwili vya level moja mwaka tofauti!
Pamoja sana!
Kwa yeyote mwenye kufahamu!
Plz anijuze!
Hivi NECTA wanaunganisha kile cheti cha zamani na kile kipya kinachopatikana baada ya kurisiti?
Naombeni kujuzwa kwa yeyote mwenye kufahamu!
NB:
nilikuwa natembelea web ya NECTA nikakuta tangazo kuwa wale wenye vyeti vya matokeo ya awali ya form IV wayakabidhi kwa wakuu wao wa shule ndipo wapewe vipya vilivyobadilishwa matokeo, hapo ndio wazo likanijia kuwa hivi NECTA wanabadilisha vile vyeti vya zamani na kuunganisha na vya kurisiti ama mtu unaendelea kuwa na vyeti viwili viwili vya level moja mwaka tofauti!
Pamoja sana!